TANGAZO KWA UMMA




KATIKA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA OFISI YA MAKAMU WA RAIS INAWAKARIBISHA WANANCHI WENYE KERO/ MAONI/CHANGAMOTO KUHUSU MASUALA  YA  MUUNGANO NA MAZINGIRA, KUFIKA UKUMBI MDOGO WA KARIMJEE (COUNCIL CHAMBER) TAREHE 21 JUNE, 2016.  RATIBA YA KUWASIKILIZA WANANCHI ITAKUWA KUANZIA SAA SAA 3 HADI 7 MCHANA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...