Mchezaji wa Yanga,Juma Abdul, akiwa ameshikilia hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/=baada ya kukabidhiwa rasmi na wadhamini wakuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ya kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara mwezi Mei 2016.
Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= Mchezaji wa Yanga, Juma Abdul, baada ya kuibuka mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara mwezi Mei 2016,Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katikati Ofisa wa Ligi, Joel Balisiya.
Mchezaji wa Mtibwa Suger,Chiza Kinyuya akiwa ameshikilia hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/=baada ya kukabidhiwa rasmi na wadhamini wakuu ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ya kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara mwezi April 2016.
Mchezaji wa Mtibwa Suger,Chiza Kinyuya akipokea hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/-toka kwa Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude(kushoto)baada ya kuibuka mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara mwezi April 2016,Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,Katikati ni Ofisa wa Ligi,Joel Balisiya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...