Hakika inapendeza pale unapoona kila siku wasanii wapya wanaibuka na kuonyesha uwezo mkubwa katika sanaa.
Kutoka Jijini Mwanza, vichwa viwili, Payusi na Mecrass ambao wanaunda kundi la "Payus & Mecrass" wameachiwa wimbo wao uitwayo Chausiku ambao kiukweli umepokelewa vyema na hakika unakonga nyoyo na masikio ya wapenzi wa muziki.
Bonyeza Hapa Kusikiliza Au Play Hapo chini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...