Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikata utepe kuashiria kuzindua Ofisi ya Baraza la Ardhi la Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga ambako wakazi wa wilaya hiyo walikuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu kwenda wilayani Korogwe kuitafuta haki yao pindi wanapokumbwa na utata katika ardhi.
Waziri Lukuvi akikagua Ofisi mpya ya Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilayani Lushoto mkoani Tanga baada ya kuizindua jana asubuhi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akiwahutubia wananchi wa wilayani Lushoto mara baada ya kuzindua ofisi mpya za Baraza la Ardhi wilayani Lushoto jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...