Waziri wa Maliasili na utalii Mh.Jumanne Maghembe akifungua mkutano wa mwaka wa hifadhi za Taifa Tanzania na wahariri na waandishi waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Morogoro leo.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Kebwe Steven Kebwe. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro leo, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa hifadhi za Taifa Tanzania na wahariri pamoja na waandishi wa andamizi nchini.

Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari waandamizi wakimsikiliza waziri wa Maliasili na utalii,Jumanne Magembe Mjini Morogoro leo.

Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari waandamizi wakimsikiliza waziri wa Maliasili na utalii,Jumanne Magembe Mjini Morogoro leo,alipokuwa akifafanua jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa hifadhi za Taifa Tanzania na wahariri pamoja na waandishi wa andamizi nchini.



Baadhi ya Wahariri na waandishi waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakijadiliana jambo kabla ya mkutano huo kuanza,mjini morogoro leo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...