Baadhi ya watumishi na watendaji wa Wizara ya Ardhi, wakimsikiliza Katibu Mkuu Dtk. Yamungu akijibu hoja mbalimbali zilizowasilishwa kwake na watumishi hao kama sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016.
 Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Dkt. Yamungu Kayandabila akisisitiza jambo kwa watumishi wa wizara hiyo, alipokutana nao katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016. Dkt Yamungu alipokea kero mbalimbali kutoka kwa watumishi hao pamoja na kuzitafutia ufumbuzi ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi.
Mtumishi Beatus Kashangaki akitoa kero zake kwa Katibu Mkuu Dkt. Yamungu Kayandabila wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...