Jaji Mkuu , Othman Chande, akiwasili Viwanja vya maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu , Othman Chande akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu ,Othman Chande akiongozwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipokuwa akitembelea kuangalia huduma mbalimbali kwenye Banda hilo jinsi Wananchi wanavyoweza kujiunga na vyuo vya nje ya nchi, wakati akiwa katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...