Jaji Mkuu , Othman Chande, akiwasili Viwanja vya maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu , Othman Chande akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu ,Othman Chande akiongozwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipokuwa akitembelea kuangalia huduma mbalimbali kwenye Banda hilo jinsi Wananchi wanavyoweza kujiunga na vyuo vya nje ya nchi, wakati akiwa katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...