Matembezi yakipita katika mzunguko wa YMCA kuekea katika uwanja wa Chuo kikuu cha Ushirika.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Executive Solution ambayo imeratibu sherehe hizo akiongoza njia ya matembezi hayo ndani ya uwanja wa Chuo kikuu cha Ushirika.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Meck Sadick (kulia) akizungumza jambo na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) wakati wakiongojea maandamano hayo ,katikati ni Mkuu Mpya wa wilaya ya Moshi ,Kipi Warioba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...