Vijana wa IPS na muungano wa vijana waliosoma na kumaliza shule ya msingi ilala jijini Dar es salaam, leo walijumuika na mbunge wa jimbo la Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega katika kutoa futari kwa watoto yatima wa kituo cha Malaika.
Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega akiongoza Vijana wa IPS na muungano wa vijana waliosoma na kumaliza shule ya msingi ilala jijini Dar es salaam
Vijana wa IPS na muungano wa vijana waliosoma na kumaliza shule ya msingi ilala jijini Dar es salaam
Baadhi ya vijana wa IPS na muungano wa vijana waliosoma na kumaliza shule ya msingi ilala jijini Dar es salaam wakiwa na wanafunzi wa kituo hicho cha Malaika
Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega akijumuika na watoto yatima kituoni hapo
Mbunge wa jimbo la Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega akighawa futari na Vijana wa IPS na muungano wa vijana waliosoma na kumaliza shule ya msingi ilala jijini Dar es salaam kituoni hapo
Asante mungu tulilifanikisha ili kwa umoja wetu na nguvu zetu allah atujaliie wana IPS tufqnye makibwa zaid kwa umoja wetu asante uongozi wa malaika kids asante na mheshimiwa ulega mbunge wa mkuranga bilq kumsahau mh diwani wa kata ya mkuranga na mwenyekiti wa kata hiyo kwa sapot yenu kubwa mliotuonyesha allah atawalipa zaid
ReplyDelete