Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na katika Umoja wa Afrika, Mhe. Naimi Aziz akipitia makabrasha ya Mkutano wa nne wa Ushirikiano kati ya nchi za Afrika na Jamhuri ya Korea unaofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa, Ethiopia. Nyuma ya Mhe. Balozi ni Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Bi. Suma Mwakyusa.
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...