Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na katika Umoja wa Afrika, Mhe. Naimi Aziz akipitia makabrasha ya Mkutano wa nne wa Ushirikiano kati ya nchi za Afrika na Jamhuri ya Korea unaofanyika kwenye makao makuu ya Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa, Ethiopia. Nyuma ya Mhe. Balozi ni Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Bi. Suma Mwakyusa. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA |
Home
Unlabelled
Afrika na Korea zajadili maendeleo jijini Addis Ababa, Ethiopia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...