Bw. Benedict Msuya na Bi. Berther Makilagi ambao ni maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wakinukuu masuala muhimu ya mazungumzo ya Waheshimiwa Mawaziri wa Korea na Tanzania. |
Maafisa walioambatana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea nao wakinukuu taarifa za mazungumzo. |
Mhe. Mahiga na Mhe. Yun wakishikana mikono ya kuombeana kheri baada ya kukamilisha mazungumzo yao. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...