Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Cuba,
Jorge Luis Lopez (kushoto), alipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,
Lumumba jijini Dar es Salaam, kumuaga kufuatia kumalizika kwa mda wake
wa kazi hapa nchini. (Picha na Bashir Nkoromo-MAKAO MAKUU YA CCM).
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa
Cuba, Jorge Luis Lopez (kushoto), alipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu
ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kumuaga kufuatia kumalizika kwa
mda wake wa kazi hapa nchini. (Picha na Bashir Nkoromo-MAKAO MAKUU YA
CCM).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...