Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimpatia kadi ya mawasiliano Mgeni wake Balozi wa Cuba Mhe. Jorge Luis Lopez alipofika ofisini kwake leo (8/12/2016) kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini.
 Balozi wa Cuba Mhe. Jorge Luis Lopez akiandika ujumbe wa kumuaga Waziri  wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe kwenye kitabu cha wageni ofisini kwa Waziri huyo alipofika kwa ajili ya kumuaga.
Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akibadilishana mawazo na Mgeni wake Balozi wa Cuba Mhe. Jorge Luis Lopez  alipofika ofisini kwake leo (8/12/2016) kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...