Mkuu
wa Masoko na Hazina wa BancABC, Barton Mwasamengo, (kushoto), na Mkuu wa
Kitengo cha Wateja Binafsi na wafanyabiashara wadogo wadogo, Joyce Malai,
wakionyesha kadi inayoonyesha uzinduzi wa ofa ya riba asilimia 16% kwa wateja
wanaofungua akaunti ya amana ya muda maalum msimu huu wa sikukuu. Uzinduzi huo
ulifanyika Desemba 5, 2016 makao makuu ya BancABC jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Masoko na Hazina wa BancABC, Barton Mwasamengo, (kushoto), na Mkuu wa
Kitengo cha Wateja Binafsi na wafanyabiashara wadogowadogo, Joyce Malai, wakati
wa mkutano na waandishi wa habari, kuzindua ofa ya riba asilimia 16% kwa wateja
wanaofungua akaunti ya amana ya muda maalum msimu huu wa sikukuu. Uzinduzi huo
ulifanyika Desemba 5, 2016 makao makuu ya BancABC jijini Dar es Salaam.
Bi.Upendo Nkini(kulia), akiwakaribisha maafisa hao tayari kuzungumza na waandishi wa habari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...