Blogger nguli wa  Mitindo hapa nchini, Shamim Mwasha akipokea tuzo yake baada ya Blog yake ya 8020 Fashions kuwa Bora katika nyanja ya Mitindo, katika Usiku wa kumkia leo katika  Swahili Fashion Week 2016 ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni  Jijini Dar es salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...