Mbunifu wa mavazi  anayekuja juu kwa kasi Lillian Ndanshau akifurahia baada ya kupokea  tuzo yake ya  Mbunifu Chipukizi Bora wa Mwaka  katika Swahili Fashion Week 2016, iliyotolewa na Kampuni Kongwe ya  Mavazi hapa nchini ya Khimji katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...