Mbunifu wa mavazi anayekuja juu kwa kasi Lillian Ndanshau akifurahia baada ya kupokea tuzo yake ya Mbunifu Chipukizi Bora wa Mwaka katika Swahili Fashion Week 2016, iliyotolewa na Kampuni Kongwe ya Mavazi hapa nchini ya Khimji katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.
Home
Unlabelled
LILLIAN NDANSHAU ASHINDA TUZO YA MBUNIFU CHIPUKIZI BORA KATIKA SWAHILI FASHION WEEK 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...