Waziri wa Habari Utalii, Utamaduni na Michezo Mhe. Rashid Ali Juma amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Bodi ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) 
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Wizara hiyo Bw. Ameir Abdallah Ameir imesema walioteuliwa ni pamoja na Hassan Ali Hassan na Kombo Shaame Kai. 
Wengine ni Aziza Saleh Mohammed, Ramadhan Omar Mohamed na Nassor Rajab Dachi. Taarifa hiyo imefahamisha kuwa uteuzi wa Wajumbe hao umeanza Disemba 23, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...