Taarifa zilizotufikia jioni hii kutoka Mombasa, Kenya, zinasema kwamba katika michezo ya Mabunge ya Afrika Mashariki inayoendelea huko kumemalizika mechi kati ya Tanzania na Uganda. Matokeo ni kwamba Bunge Stars ya Tanzania wameshinda goli 2, Uganda 1. Magoli yote ya Bunge Stars yamefungwa na mshambuliaji hatari wa kimataifa Mhe Mohamed Mchengerwa. Shukuran kwa dua zenu. Kesho Bunge Queens ya Tanzania wanamenyana na Kenya katika netball wakati kwenye kandanda watacheza na Kenya. Dua zenu wapendwa Watanzania popote mlipo...
Home
Unlabelled
BUNGE STARS YATAMBA MOMBASA, YAITWANGA UGANDA BAO 2-1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...