Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson na kulia Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, wakitiliana saini ya ujenzi wa Mradi huo wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja. akishuhudia utilianaji wa saini hiyo katikati Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mr. Khamis Mussa.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson na kulia Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, wakibalishano mikatabaa hiyo baada ya kusaini.ujenzi wa Mradi huo wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja. akishuhudia utilianaji wa saini hiyo katikati Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Mr. Khamis Mussa.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Limited "Zanzibar Amber Resort" Mr Brian Thomson, akizungumza wakati wa hafla hiyo ya utilianaji wa saini iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Kampuni ya MCC Overseas Limited ya China Mr. Leo Zou, akizunguma baada ya hafla ya utilianaji wa saini ujenzi wa mradi wa Kijiji cha Utalii cha Matemwe Zanzibar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...