SIMU.tv: Rais Magufuli amemteua rasmi Prof. Yunus Mgaya kuwa mkurugenzi mkuu wa NIMR kufuatia utenguzi wa mkurugenzi wa awali.  https://youtu.be/D71HdEO1l3U

SIMU.tv: Mwanafunzi wa shule ya Sekondari mkoani Mbeya amefariki dunia baada ya kugongwa na gari  la mbunge wa Mbeya mjini Mhe. Joseph Mbilinyi. https://youtu.be/eVfHRdZ9erE

SIMU.tv: Mtu mmoja amabye jina lake halikufahamika ameuawa na mwili wake kutupwa kwenye boma ambalo halijaisha huko mkoani Geita. https://youtu.be/79SXghJzLjM

SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Geita amesema hatasita kuwasaka na kuwakamata waganga wote wa jadi wanaopiga ramli chonganishi na kusababisha mauaji ya vikongwe. https://youtu.be/6KsJZEPzFZ8

SIMU.tv: Mchezaji Rish Vipul Somaiya amesema maendeleo ya mchezo kitaifa na kimataifa hutegemea uendelezaji wa vipaji toka ngazi za chini. https://youtu.be/-zDmJysIM10

SIMU.tv: Ligi ya kandanda Tanzania bara msimu wa pili imeanza kutimua vumbi hii leo  kwa mechi kadhaa kuchezwa huku Yanga ikianza kwa ushindi mnono. https://youtu.be/mV7A-X-7v-I

SIMU.tv: Mganga mkuu wa serikali ametoa wito kwa watafiti nchini wametakiwa kutumia lugha inayoeleweka kwa jamii; https://youtu.be/Lz0ux3jXid0

SIMU.tv: Chama Cha Mapinduzi CCM kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa Umeya wa Manispaa ya Kigamboni katika uchaguzi uliofanyika hii leo; https://youtu.be/JIYS_CFdsos

SIMU.tv: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa idara zinazosimamia mipaka ya nchi kudhibiti wahamiaji haramu; https://youtu.be/wanvzWtVuMo

SIMU.tv: Mkuu wa wilaya ya Kisarawe amewakamata na kuwaweka ndani wenyeviti na maafisa wendaji wa vijiji vitatu kwa kusababisha migogoro ya ardhi; https://youtu.be/8Oo4PWDuttA

SIMU.tv: Serikali imesema itatoa kipaumbele kwa wakandarasi wazawa katika ujenzi wa reli mpya ya kisasa; https://youtu.be/9AC9VFiA-GM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...