Mbunifu wa mavazi anayekuja juu kwa kasi Lillian Ndanshau akishukuru watazamaji baada ya mavazi aliyobuni kuoneshwa na mamodo kwenye siku ya kwanza ya maonesho ya mavazi ya kila mwaka ya Swahili Fashion Week 2016 katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam Ijumaa. Mwaka jana Lillian, anayetumia lebo yake ya BONUZI alishinda tuzo ya mbunifu anayakuja juu wa mwaka (Emerging designer of the year) Maonesho hayo, yanayoandaliwa na mbunifu wa mavazi nguli Mustafa Hassanali, yameendelea usiku huu na yatafikia tamati kesho Jumapili usiku,
Home
Unlabelled
LILLIAN NDANSHAU ANG'ARA SWAHILI FASHION WEEK 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Too short, yes we all need money but what about moral.
ReplyDelete