Mbunifu wa mavazi  anayekuja juu kwa kasi Lillian Ndanshau akishukuru watazamaji baada ya mavazi aliyobuni kuoneshwa na mamodo kwenye siku ya kwanza ya maonesho ya mavazi ya kila mwaka ya Swahili Fashion Week 2016 katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam Ijumaa.  Mwaka jana Lillian, anayetumia lebo yake ya BONUZI  alishinda tuzo ya mbunifu anayakuja juu wa mwaka (Emerging designer of the year) Maonesho hayo, yanayoandaliwa na mbunifu wa mavazi nguli Mustafa Hassanali,  yameendelea usiku huu na yatafikia tamati kesho Jumapili usiku,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Too short, yes we all need money but what about moral.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...