Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi.
Baadhi ya waalimu waliopewa zawadi katika sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi,ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (wa pili kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wa Darasa la saba katika sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi,(kulia) Mwalimu Mkuu Ally Yussuf Nungu.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (kushoto) akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi wa Kidato cha Nne katika sherehe za Mahfali ya Skuli ya Feza Zanzibar (Private) kwa wanafunzi wa Kidato cha 4,6 na 7 mwaka 2016,iliyofanyika juzi Skulini hapo Chukwani Wilaya ya Magharibi,(katikati) Mwalimu Mkuu Ally Yussuf Nungu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...