Katibu Mkuu wa Chama cha Watunisha Misuli Nchini Bw.
Francis Mapugilo (kushoto) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo
pichani) kuhusu mashindano ya kutafuta bingwa wa kutunisha misuli nchini
Tanzania 2017 yatayofanyika karibuni jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mshauri wa
Ufundi wa Chama hicho Bw. Fike Wilson na mwisho kulia Mwenyekiti wa Kamati ya
Mashindano hayo Bw. Nilesh Bhatt.
Baadhi ya watunisha misuli wakionesha jinsi ya
kutunisha misuli kwa waandishi wa habari
Baadhi ya watunisha misuli wakionesha jinsi ya
kutunisha misuli kwa waandishi wa habari
Baadhi ya watunisha misuli wakiwa katika picha ya
pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano hayo Bw. Nilesh Bhatt (kushoto)
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...