Wananchi wa kijiji cha Nyatanga kilichopo Kata ya Panzuo Tarafa ya Mkamba mkoani Pwani wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega alipokuwa akizungumza nao na kupanga nao mikakati ya kujikwamua na umaskini kwa namna moja ama nyingine.
 Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega akikagua jengo la Zahanati ya Nyatanga iliyojengwa kwa fedha za wananchi wa kijiji cha Nyatanga kilichopo Kata ya Panzuo Tarafa ya Mkamba mkoani Pwani. 
 Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa wa kijiji cha Nyatanga kilichopo Kata ya Panzuo ,Tarafa ya Mkamba ambapo yupo katika ziara za kikazi katika  jimbo lake hilo la Mkuranga mkoani Pwani.Mh.Ulege ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi wake,ikiwemo pia na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo
 Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya  Mkuranga mkoani Pwani,Mhandisi Mshamu Munde akifafanua jambo katika mkutano uliofanyika kwenye  kijiji cha Nyatanga kilichopo Kata ya Panzuo ,Tarafa ya Mkamba mkoani Pwani.Picha Emmanuel Massaka Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...