Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akisalimiana na baadhi ya wazee wanaoishi katika kambi ya kulelea wazee ya Rasi Bula mkoani Lindi wakati wa ziara yake kujionea hali halisi ya kituo hicho.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akiwa katika ziara ya kuangalia mazingira ya Shule ya kulelea watu wenye ulemavu ya Nyangao mkoani Lindi kulia kwake ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bw.Richard Mponda.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akizungumza na baadhi ya walimu wa shule ya msingi ya Nyangao alipotembelea kuona hali halisi ya mazingira ya wanafunzi wenye wahitaji maalum Desemba 15, 2016.
Mwalimu wa wasiona shule ya nyangao Bw.Nassoro Kambona akielezea changamoto wanazokabiliana nazo kazini kwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake shuleni hapo.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Watu wenye Ulemavu) Mhe. Dkt. Abdallah Possi akijibu hoja za wazee wenye ukoma na mahitaji maalum katika kambi yao ya Nandanga wilayani ruangwa mkoa wa Lindi alipofanya ziara yake Desemba 15, 2016
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...