Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (kushoto) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Fabian Daqarro akimkabidhi pikipiki mmoja wa waendesha bodaboda wa jiji hilo katika kutekeleza mradi huo wa kutoa pikipiki 200 kwa viaja  uliozinduliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa.
 Zoezi Hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kushuhudiwa Na Kamati ya Ulinzi Na Usalama ya Mkoa pamoja na viongozi wengine limeenda sambamba na ukamilishaji wa taratibu zingine Kama vile kila mmoja wao kupatiwa Bima Kubwa na Leseni ya muda (Lena).  Vijana wa Arusha wamempongeza Mkuu wa Mkoa Gambo Kwa kubuni Mradi huu Na kuahidi kuwa waaminifu katika marejesho ili vijana wengine waweze kunufaika. .
 Kijana akiondoka na pikipiki yake baada ya kukabidhiwa
Vijana wakiwa na pikipiki zao baada ya kukabidhiwa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akiwa na waendesha bodaboda vijana 200 baada ya kuwakabidhi vitendea kazi hivyo
Shukurani toka kwa kiongozi wa waendesha bodaboda jiji la Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...