Mabao mawili ya Kila kipindi yameiwzesha timu ya Bunge Stars  kumaliza nafasi bora baada ya kuifunga Bunge la Jumuiya ya Africa Mashariki mabao 4-2. Mabao hayo vyalifungwa na Cosato Chumi goli moja na Yusuf Gogo mabao matatu Kwa upande wa Netball Bunge Queen imemaliza nafasi ya pili baada ya kufungwa na Uganda katika  fainali magoli 38-29. Mpaka tunaenda mitamboni Burundi walikuwa uwanjani wakimenyana na Uganda ktk fainali
 Kocha mchezaji wa timu ya Bunge Stars   Venance Mwamoto na mshambuliaji hatari wa kikosi hicho Cosato Chumi wakiwa na waamuzi wa mchezo wao na timu ya Bunge la Jumuiya ya Africa Mashariki ambao wamewalamba mabao 4-2
 Wachezaji wa Bunge Stars wakijiandaa na mchezo waona timu ya Bunge la Jumuiya ya Africa Mashariki 
Wachezaji nyota wa Bunge Stars wakiwa wamekaa na mashabiki wao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...