SIMU.TV: Watoto watatu wamefariki dunia baada ya kuzama bwawani katika eneo la Mombasa wilaya ya Magharibi visiwani Zanzibar ; https://youtu.be/RKOnvdSLOr4

SIMU.TV: Kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM chini ya mwenyekiti wake Rais Dkt John Magufuli imekutana leo huku ajenda kubwa ikiwa ni tathimini ya uchaguzi mkuu 2015; https://youtu.be/EAN185bJh10

SIMU.TV: Ufugaji wa mende na funza kwa ajili ya chakula cha mifugo umekuwa kivutio kikubwa katika maonyesho ya bidhaa za viwandani nchini Tanzania; https://youtu.be/u8J2PCRQBXc

SIMU.TV: Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini TANAPA Meja Jenerali mstaafu George Waitara amewataka viongozi wa TANAPA kuboresha usafi katika mlima Kilimanjaro; https://youtu.be/SOzQeJRDArk

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Manyara Dkt Joel Bendera amewataka watendaji katika mkoa huo kushiriki kutatua migogoro ya ardhi katika maeneo yao; https://youtu.be/xGYQyQM3p3s
SIMU.TV: Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya Kahama wameilalamikia mamlaka ya maji na usafi wa mazingira kwa kushindwa kuunganisha maji kwa wananchi; https://youtu.be/Gqhu64059OA

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Ubungo jijini Dar Es salaam Humphrey Polepole amewataka viongozi waliopewa dhamana kuongoza katika wilaya yake kufanya kazi kwa uadilifu; https://youtu.be/OLm3C_nVE2c

SIMU.TV: Waziri wa michezo Nape Nnauye amesisitiza kuwa uwanja wa Taifa bado umefungwa kutumiwa na vilabu vya Yanga na Simba katika michezo ya ligi kuu; https://youtu.be/u4CUvYfAAwI  

SIMU.TV: Mkutano mkuu wa klabu ya Simba umepitisha kwa kauli moja kuruhusu kufanyika kwa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi; https://youtu.be/1qEIb5n5W_s
SIMU.TV: Makocha wanaofundisha soka mitaani bila kuwa na elimu yoyote wameshauriwa kwenda kujifunza taalamu hiyo kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla; https://youtu.be/5vnjw2TA8pM

SIMU.TV: Vinara wa ligi kuu Uingereza timu ya Chelsea wamereja kileleni baada ya kupata ushindi mwembamba wa goli moja kwa bila dhidi ya Westbrom Albion; https://youtu.be/53b_3yhAUC4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...