Muandaaji wa Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo ya mavazi la "Swahili Fashion Week" ambaye pia Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya 361, Mustafa Hassanali akizungumza kabla ya kukabidhi tunzo kwa Mbunifu Bora wa Mwaka 2016, iliyokwenda kwa Mbunifu Kijana, Martin Kadinda, ikiwa ni siu ya mwisho ya Tamasha hilo kwa Mwaka huu, lililoanza rasmi Desemba 2 - 4, 2016 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam.
Muandaaji wa Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo la "Swahili Fashion Week" ambaye pia Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya 361, Mustafa Hassanali akimkabidhi tuzo ya Mbunifu Bora wa Mwaka 2016, Mbunifu Martin Kadinda baada ya kuibuka kinara katika nyanja hiyo, katika Usiku wa mwisho wa Tamasha la Kimataifa la Maonyesho ya Mitindo ya mavazi la "Swahili Fashion Week" , lililomalizika usiku huu katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Mavazi yaliyobuniwa na Martin Kadinda.


















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Habari njema Kwa wamama,wadada,bachelors na wanavyuo wa hostel,familia.
    Okoa pesa,muda,nafasi,gharama kubwa za umeme na gas na matumizi ya vyombo vingi.
    Tumia SMART COOKER - Jiko la kisasa la DIGITAL LINALOTUMIA UMEME MDOGO SANA KULITUMIA
    BEI : Tsh 250,000/=
    UKUBWA WAKE NI LITA - 5
    Linapika vyakula vyote, ugali,wali nk
    Haliunguzi Chakula,haligandishi Chakula(Non-stick) hivyo kupunguza matumizi ya Mafuta ya kupikia
    Linachemsha supu,maji nk
    Linakaanga chips,nyama,maandazi, nk
    Linaoka cake,mikate nk
    Linatost mikate nk
    Linatengeneza pop corn
    Linachoma nyama,mishikaki nk
    Linatumika kama Oven,Microwave na Hotpot
    Ni rahisi KULITUMIA na ni Salama Kwa mazingira yote
    CALL :0746 25 45 73 , 0757 18 44 45 or vmonyo@gmail.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...