Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya limeendelea kufanya misako, operesheni na doria zenye tija katika maeneo mbalimbali ili kudhibiti uhalifu na wahalifu na limekuwa likishirikiana na wananchi na wadau wengine katika jitihada hizo za kukabiliana na uhalifu na wahalifu na kupata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kupungua kwa matukio makubwa ya uhalifu. Aidha kwa kipindi cha mwaka 2016 Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na wananchi na wadau limefanikiwa kwa kiwango kikubwa kukabiliana na kupunguza matukio ya uhalifu katika mkoa wetu.
Home
Unlabelled
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KUHUSIANA NA HALI YA UHALIFU KWA KIPINDI CHA JANUARI – DESEMBA, 2016.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...