Ofisa Masoko Mwandamizi wa
UTT-AMIS, Martha Mashiku akitoa maelezo kwa Waziri wa Katiba na Sheria Dk.
Harisson Mwakyembe (kulia) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora, Angela Kairuki.
Ofisa
Mafunzo wa UTT-AMIS, Waziri Ramadhan akishuhudia mwananchi
aliyehudhulia Maadhimisho ya Siku ya Maadili Kitaifa na Haki za Binadamu
akijaza fomu ya kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji wa UTT.
Maofisa Mafunzo wa UTT-AMIS, Waziri Ramadhan na Pauline Kasilati wakitoa elimu juu ya Mfuko wa Uwekezaji wa UTT-AMIS wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Maadili Kitaifa na Haki za Binadamu akijaza fomu ya kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji wa UTT.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...