Ofisa Masoko Mwandamizi wa UTT-AMIS, Martha Mashiku akitoa maelezo kwa Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Harisson Mwakyembe (kulia) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki.
Ofisa Mafunzo wa UTT-AMIS, Waziri Ramadhan akishuhudia mwananchi aliyehudhulia Maadhimisho ya Siku ya Maadili Kitaifa na Haki za Binadamu akijaza fomu ya kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji wa UTT.
Maofisa Mafunzo wa UTT-AMIS, Waziri Ramadhan na Pauline Kasilati wakitoa elimu juu ya Mfuko wa Uwekezaji wa UTT-AMIS wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Maadili Kitaifa na Haki za Binadamu akijaza fomu ya kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji wa UTT.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...