Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Lilian Liundi (kulia) akifungua Warsha ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao. Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Lilian Liundi (kulia) akifungua Warsha ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP MtandaoMajadiliano katika warsha hiyo yakiendelea. Majadiliano katika warsha hiyo yakiendelea.Baadhi ya maofisa wa TGNP Mtandao wakiwa katika warsha hiyo. Baadhi ya maofisa wa TGNP Mtandao wakiwa katika warsha hiyo.Baadhi ya washiriki wa washa ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao. Baadhi ya washiriki wa washa ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao.Baadhi ya washiriki wa washa ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao. Baadhi ya washiriki wa washa ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...