Aliyekaa kulia Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba, akimsikiliza katibu Mkuu mpya wa Ofisi hiyo Professor Faustin Kamuzora walipokuwa katika mkutano wa pamoja na watumishi wa Ofisi hiyo jijini Dar es Salaam.
Aliyesimama katikati ya Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Injinia Kamukuru Afisa Mazingira Mwandamizi, akiongea wakati wa mkutano wa watumishi wa Ofisi hiyo na Waziri wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba hayupo Pichani, mkutano huo ulifanyika jijini dare s Salaam. (Picha na Ofisi ya makamu wa Rais).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...