Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Wanawake TUCTA Bi.Rehema Ludanga alipowatembelea Ofisini kwao Jijini Dar es Salaam Desemba19, 2016.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akizungumza jambo wakati wa Mkutano na Viongozi wanawake wa Vyama vya wafanyakazi TUCTA walipokutana katika Ofisi zao Dar es Salaam tarehe 19 Desemba, 2016.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi wanawake wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa mkutano wao Ofisi za TUCTA Dar es Salaam Desemba 19, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...