Waziri wa Habari utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa mashindano ya kuogelea ya vijana chini ya umri wa miaka 13 yanayoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club yanayofanyika katika bwawa la shule ya Kimataifa Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya Vijana chini ya umri wa miaka 13 wakijaaandaa kuruka ndani ya bwawa la kuogelea kuanza kushindana katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Sewimming Club.
 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya Vijana chini ya umri wa miaka 13 wakijaaandaa kuruka ndani ya bwawa la kuogelea kuanza kushindana katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Sewimming Club.
 Baadhi ya washiriki wakifuatilia mashindano hayo ya Vijana ya kuogelea yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club. 
Waziri wa Habari utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwavalisha medani baadhi ya washindi wa kuogelea mara baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yanayoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club yanayofanyika Jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WHUSM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...