Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dr. Adelhelm Meru, akipokea tuzo ya ushindi wa kwanza kwa kundi la Wizara na Idara za Serikali ya ubora wa uwasilishwaji wa taarifa ya fedha kwa mwaka 2015 kutoka kwa mhasibu mkuu wa Wizara Bi. Rose Janeth Bandisa.

Picha ya pamoja ya Katibu Mkuu wa wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dr. Adelhelm Meru, wahasibu na wakaguzi wa ndani wa Wizara.
Tuzo ya ushindi wa kwanza kwa kundi la Wizara na Idara za Serikali ya ubora wa uwasilishwaji wa taarifa ya fedha kwa mwaka 2015. Tuzo hii hutolewa kila mwaka na bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi (NBAA). Picha na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...