Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana
Pallangyo (kushoto) akiongoza kikao kazi na wasimamizi wa miradi ya nishati
kilichofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 03 February, 2017 lengo likiwa ni
kujadili maendeleo na changamoto za miradi hiyo.
Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana
Pallangyo (kushoto) akiongoza kikao kazi na wasimamizi wa miradi ya nishati
kilichofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 03 February, 2017 lengo likiwa ni
kujadili maendeleo na changamoto za miradi hiyo.
Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana
Pallangyo (kushoto) akiongoza kikao kazi na wasimamizi wa miradi ya nishati
kilichofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 03 February, 2017 lengo likiwa ni
kujadili maendeleo na changamoto za miradi hiyo.
Sehemu ya wasimamizi wa
miradi na watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Umeme
Tanzania (TANESCO), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Wakala wa
Nishati Vijijini (REA), wakifuatilia maelekezo
yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na
Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi
Juliana Pallangyo (hayupo pichani)
Kutoka kushoto, Milka
Digha, Alika Ilomo na Costa Mosha kutoka
Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Nishati na Madini wakinukuu maelekezo mbalimbali yaliyokuwa yanatolewa katika kikao
hicho.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...