Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kushoto) akiongoza kikao kazi na wasimamizi wa miradi ya nishati kilichofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 03 February, 2017 lengo likiwa ni kujadili maendeleo na changamoto za miradi hiyo.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kushoto) akiongoza kikao kazi na wasimamizi wa miradi ya nishati kilichofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 03 February, 2017 lengo likiwa ni kujadili maendeleo na changamoto za miradi hiyo.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (kushoto) akiongoza kikao kazi na wasimamizi wa miradi ya nishati kilichofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 03 February, 2017 lengo likiwa ni kujadili maendeleo na changamoto za miradi hiyo.
 Sehemu ya wasimamizi wa miradi na watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Wakala wa Nishati Vijijini (REA), wakifuatilia maelekezo  yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Mhandisi  Juliana Pallangyo (hayupo pichani)
 Kutoka kushoto, Milka Digha,  Alika Ilomo na Costa Mosha kutoka Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Nishati na Madini  wakinukuu maelekezo  mbalimbali yaliyokuwa yanatolewa katika kikao hicho.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...