Katibu
Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Prof. Adolf Mkenda,
Akihojiwa na Watangazaji mahiri wa TBC Taifa, Paul Alphonce na Anna
Mwasyoke, Mikocheni Jijini Dar es salama, mapema leo asubuhhi, ambapo
mada iliyokuwa mezani ni kuanza kutumika kwa Kituo cha Pamoja cha Forodha
mpaka ni Tunduma/Nakonde (Tanzania na Zambia) pamoja na umuhimu wake
katika uchumi wa Taifa.
Katibu
Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Prof. Adolf Mkenda,
Akihojiwa na Mtangazaji wa TBC1, Chunga Runza, Mikocheni Jijini Dar es
salama, mapema leo asubuhhi,
ambapo mada iliyokuwa mezani ni kuanza kutumika kwa Kituo cha Pamoja
cha Forodha mpakani Tunduma/Nakonde (Tanzania na Zambia) pamoja na
umuhimu wake
Kutoka Julia ni Dkt. Ayoub Rioba (Mkurugenzi Mkuu TBC), Prof. Adolf Mkenda ( Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji), Elizabeth Mramba na Chunga Runza (Watangazaji), wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa mahojiano ya moja kwa moja kuhusu uanzishwaji rasmi wa huduma za forodha wa pamoja katika mpaka wa Tunduma/Nakonde (Tanzania na Zambia)
Kutoka Julia ni Dkt. Ayoub Rioba (Mkurugenzi Mkuu TBC), Prof. Adolf Mkenda ( Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji), Elizabeth Mramba na Chunga Runza (Watangazaji), wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa mahojiano ya moja kwa moja kuhusu uanzishwaji rasmi wa huduma za forodha wa pamoja katika mpaka wa Tunduma/Nakonde (Tanzania na Zambia)





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...