Mtaalam wa Masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dkt. Chris Mauki (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakati alipokuwa akitoa elimu kwa wafanyakazi hao kuhusiana na jinsi ya kustahimili mazingira ya kazi, wakati wa Uzinduzi wa wiki ya wanawake duniani.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakimsikiliza Mtaalam wa Masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dkt. Chris Mauki (hayupo pichani) alipokuwa akiwaelimisha kuhusiana na jinsi ya kuistahimili mazingira ya kazi, wakati wa Uzinduzi wa wiki ya wanawake duniani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...