Mkurugenzi wa Idara ya sheria
wa Vodacom Tanzania,Nina Pendael Eshun (katikati) pamoja na wadau wa sekta ya
Mawasiliano wakifatilia kwa umakini hotuba ya Waziri
wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.
Makame M.Mbarawa(hayupo pichani)wakati wa uzinduzi wa huduma ya kuhama
kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya
kiganjani inayojulikana kitaalamu zaidi kama (Mobile Number Portability
(MNP).Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jana jijini Dar es Salaam.
. Waziri wa Ujenzi
,Uchukuzi na Mawasiliano, Prof.Makame M.Mbarawa akiongea na wadau mbalimbali wa
Masuala ya Mawasiliano wakati wa Uzinduzi wa huduma ya kuhama kutoka mtandao
mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani inayojulikana
kitaalamu kama (Mobile Number Portability(MNP),Hafla hiyo ilifanyika kwenye
ukumbi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na
Mawasiliano, Prof.Makame M.Mbarawa(kushoto)akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Idara ya sheria wa Vodacom Tanzania,Nina
Pendael Eshun(kulia) pamoja na wadau wa masuala ya mawasiliano, mara
baada ya Uzinduzi wa huduma ya kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda
mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani inayojulikana kitaalamu zaidi
kama (Mobile Number Portability (MNP).Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi ,Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame M.Mbarawa akiwa
katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wanaotoa huduma za mawasiliano za simu za mkononi,Watatu
kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya sheria
wa Vodacom Tanzania,Nina Pendael Eshun,Mara baada ya Waziri huyo kuzindua rasmi huduma ya kuhama kutoka mtandao
mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba ya simu ya kiganjani
inayojulikana kitaalamu zaidi kama (Mobile Number Portability (MNP).Hafla hiyo
ilifanyika makao makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini Dar
es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...