Waziri wa Maliasili na Utalii, Professa Jumanne Maghembe(wa pili kutoka kushoto) akizungumza na wafanyabiashara kwenye mkutano wa majadiliano kati ya Serikali na Sekta binafsi katika kulinda na kuhifadhi Maliasili hasa za wanyama pori kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar leo.(Picha na Karama Kenyunko wa Blogu ya Jamii)
Mwenyekiti wa Taasisi ya sekta binafsi nchini (TPSF), Dk. Reginald Mengi akizungumza na wafanyabiashara pamoja na viogozi juu ya uhifadhi wa wanayamapori leo kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar. katika mkutano huo wafanyabiashara wameahidi kuipatia serikali uwezo zaidi  wa kupambana na ujangili dhidi ya wanyamapori.
Balozi wa Uhifadhi wanyamapori, Jacqueline Mengi akizungumza kuhusu uzuiaji wa ujangili kwa wanyamapori kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar
 Baadhi ya wadau wakiwa kwenye mkutano wa majadiliano kati ya Serikali na Sekta binafsi katika kulinda na kuhifadhi Mali asili hasa za wanyamapori.
Waziri wa Maliasili na utalii, Prof. Jumanne Maghembe akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari mara baada ya kumaliza mkutano wa majadiliano kati ya Serikali na Sekta binafsi katika kulinda na kuhifadhi Mali asili hasa za wanyama pori. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...