Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwasalimia
wachezaji wa timu ya mpira ya Kisiju wakati wa fainali za Kombe la Ulega
zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwasalimia
Waamuzi wa mpira wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika
05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (katikati)
akiteta jambo na Mbunge wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega wakati wa
fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga
Mkoani Pwani.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akimpongeza
Mbunge wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega kwa juhudi zake za muleta
maendeleo kaaika jimbo lake na udahmini wake wa kuanzisha Kombe la Ulega
ambapo fainali za kombe hilo zimefanyika jana 05/03/2017 Wilayani hapo.
Mbunge
wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega akiongea na wageni waalikwa pamoja na
wakazi wa wilayani hapo kuhusu maendeleo ya jimbo lake na lingo la
kuanzisha Kombe la Ulega ambapo fainali za kombe hilo zimefanyika jana
05/03/2017 Wilayani hapo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...