Mabalozi
wa Kundi la Mtandao wa Kijamii wa Whatsaap la Saratani Info wakiwa
katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC tayari kutembelea kitengo cha Saratani
katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC.
Mabalozi
wa Kundi la Mtandao wa Kijamii wa Whatsaap la Saratani Info wakiwa
wamebeba zawadi mbalimbali kwa ajili ya kutoa kwa wagonjwa wa Saratani
katika Hosptali ya Rufaa ya KCMC.
Mkuu
wa Kitengo cha Saratani katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Furaha
Silventi akizungumza na mabalozi wa kundi la Saratani Info lilipotmbelea
kitengo hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...