Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akisalimiana na Mwenyekiti wa kampuni ya Azam Group  Bw.Said Salim Bakhresa mara alipowasili katika Viwanja vya Ujenzi wa Nyumba za kisasa huko Fumba wakati alipotembelea kuangalia Maendeleo ya Ujenzi huo akiwa katika ziara ya Wilaya ya Magharibi"B" Mkoa wa Mjini Mgharibi
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group  Bw.Said Salim Bakhresa (wa pili kushoto) alipotembelea eneo la ufukwe katika Ujenzi wa Nyumba za kisasa huko Fumba wakati alipotembelea kuangalia Maendeleo ya Ujenzi huo akiwa katika ziara ya Wilaya ya Magharibi"B" Mkoa wa Mjini Mgharibi
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kutembelea Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Kisasa zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group  katika Kijiji cha Fumba  Wilaya ya Magharibi"B" Mkoa wa Mjini Mgharibi leo wakati alipotembelea kuangalia Maendeleo ya Ujenzi huo akiwa katika ziara Wilaya ya Magharibi"B"
 Miongoni mwa Nyumba za kisasa ambazo zinajengwa na kampuni ya Azam Group huko Fumba Wilaya ya magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group  Bw.Said Salim Bakhresa (wa pili kushoto) alipotembelea eneo la ufukwe katika Ujenzi wa Nyumba za kisasa huko Fumba wakati alipotembelea kuangalia Maendeleo ya Ujenzi huo akiwa katika ziara ya Wilaya ya Magharibi"B" Mkoa wa Mjini Mgharibi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...