Mshindi
wa droo ya tisa ya Tatu Mzuka amepatikana Jumapili hii ya Oktoba 1,
2017. Mshindi huyu amejinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 na ni
Bwana Fulko Hyera, mkazi wa kiuma, wilayani Tunduru
Ushindi
huu wa Bw.Hyera unaonesha namna Tatu Mzuka inavyobadili maisha ya
wananchi wa Tanzania sio tu wa mjini bali na vijijini pia. Bw. Hyera
ambaye ni mwalimu wa shule ya sekondari ya Kiuma.
Bw
Hyera alisema “Katika muda wangu wote, sikuwaza kuwa na hela hizi. Kama
familia zetu nina majukumu mengi yakutimiza na sasa nitakuwa na uwezo
wa kusaidia familia. Sasa nimeamua kuanza biashara, niajiri wengine na
kuongeza fursa za vijana”
Kumkabidhi
cheki Bw Hyera, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mheshimiwa Juma Homera
alimkabidhi cheki mshindi kwenye tulio lilio andaliwa na Tatu Zuka
kijijini Kiuma, Tunduru.
Mheshimiwa
Homera alikuwa ana machache ya kusema licha la kumpongeza Bw. Hyera
alimuhusia “ Hizi ni hela nyingi sana. Lazima uwe na malengo kamili and
pia hii itakupa fursa nyingine ya kusaidia jamii.” Amewapongeza sana
Tatu Mzuka kwa kuchangia kubadili maisha ya watu tena ya mwana Tunduru.
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mh Juma Homera (Kushoto) akiwa na MWakilishi wa Tatu Mzuka Bi Kemi Mutahaba, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kiuma Bw. Joseph Mtuma Wakimpongeza Mshindi wa 9 wa Tatu Mzuka Jackpot Bw Fulko Hyera, kijijini Kiuma, Tunduru
Bw. Fulko Hyera and Mke wake Sigsberta Haule mbele ya duka lao kijijini Kiuma wakisherekea kipato cha Million 60 kutoka Tatu Mzuka.
Tatu Mzuka walizawadia marafiki wa TATU wa Bw. Fulko Hyera million 1 moja kutokana na promociona ya Tatu Mzuka ya "Cheza na Washkaji na Shinda na Washkaji". Robert Mbai na Owne Simwanga
Bw. Fulko Hyera and Mke wake Sigsberta Haule mbele ya duka lao kijijini Kiuma wakisherekea kipato cha Million 60 kutoka Tatu Mzuka.
Tatu Mzuka walizawadia marafiki wa TATU wa Bw. Fulko Hyera million 1 moja kutokana na promociona ya Tatu Mzuka ya "Cheza na Washkaji na Shinda na Washkaji". Robert Mbai na Owne Simwanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...