Msemaji wa mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSPF , Msafiri Mugaka akizungumza na Wajumbe wa mkutano wa 33 wa Mamlaka ya Serikali za Mitaaa(ALAT) Juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo na faida zake pindi watakapofikia umri wa kustaafu
Wajumbe wa Mkutano huo kutoka Mkoa wa Songwe wakiongozwa na Mbunge wa Ileje , Janeth Mbene wakifuatilia mada kutoka kwa msemaji wa PSPF
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Alat wakifatilia mada kutoka kwa Msemaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...