Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mh. Nkurlu leo amekutana na Mwakilishi mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro na kufanya mazungumzo kuhisu maendeleo na changamoto na fursa zilizoko Kahama.
Mr. Alvaro amemhakikishia Mh. Nkurlu kusaidia sekta za elimu, ajira kwa vijana na mimba za utotoni. Bw. Alvaro na timu yake watazuru Kahama mwezi February mwaka huu ili kujionea fursa zilizopo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...