
Ametoweka katika mazingira ya kutatanisha tangia aage aende shule hatujamuona tena yapata wiki moja sasa, tangia Ijumaa iliyopita hajaonekana nyumbani.
Tafadhali atakaemuona atoe taarifa polis au anaweza kuwasiliana na namba zifuatazo:
shukran sana - Mdau wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...