Nimepotelewa na binti yangu kwa  jina anafahamika kama KHADIJA ALLY mwenye umri wa miaka 14, mkaazi wa Kinondoni Vijana, Dar es salaam. 
Ametoweka katika mazingira ya kutatanisha tangia aage aende shule hatujamuona tena yapata wiki moja sasa, tangia Ijumaa iliyopita hajaonekana  nyumbani. 
Tafadhali atakaemuona atoe taarifa polis au anaweza kuwasiliana na namba zifuatazo:
shukran sana - Mdau wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...