Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akipokewa na Meneja Mradi wa Safari City. James Kisarika alipotembelea mradi huo kujionea nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba (NHC).
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akipata naelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Safari City, James Kisarika(kulia) alipotembelea mradi huo kujionea nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba (NHC).
Baadhi ya Nyumba za Safari city
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...