Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohammed  Aboud Mohammed kulia akizungumza na Ujumbe wa  Mwezi Mwekundu wa  Emarates kuhusiana na utiliaji saini Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohammed  Aboud Mohammed aliesimama kulia akiwa pamoja na Msaidizi Balozi wa Emarates, Muhammed Ibrahim Al-Bahri wakishuhudia utiaji saini  Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
 Mkurugenzi wa Kamisheni ya Maafa zanzibar Shaaban Seif Mohammed akibadilishana hati ya saini na Mkurugenzi wa Maafa wa Emarates, Said Mohammed Al-humaini kuhusiana na  Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohammed  Aboud Mohammed akiwa katika picha ya pamoja na  Ujumbe wa  Mwezi Mwekundu wa Emarates baada ya  kutiliana  saini Ujenzi wa Nyumba za msaada kwa waathirika wa mafuriko Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...